Leo mwenyekiti wetu
Elvis Wambura alishiriki kwenye Gumzo Letu ya BBC Swahili, akieleza jinsi vijana wa wanavyobadilisha SDGs kuwa vitendo halisi — kwa kuendana na kauli mbiu ya Siku ya Kimataifa ya Vijana mwaka huu.


Pia kwenye mazungumzo: Kennedy Odede, Mwanzilishi wa SHOFCO.